SERIKALI YAITAKA KAMPUNI YA GAS ENTEC TANZANIA KUZINGATIA MKATABA.
SERIKALI imeuelekeza uongozi wa Kampuni ya Gas Entec Tanzania ambayo inajenga meli mpya ya MV Mwanza Hapa Kazi Tu kuzingatia makubaliano yote yaliyomo kwenye mkataba wa ujenzi wa meli hiyo. Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu, Mheshimiwa Kassim Majaliwa leo Mei 14, 2022 katika kikao kati yake na Balozi wa Korea ya Kusini nchini, Kim Sun
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed